• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

Ujenzi wa stendi ya kisasa Kakonko waanza kutekelezwa kwa gharama ya Tsh.2.1 bilioni kwa siku 365

Imetumwa: June 20th, 2019

Tsh.2.1 bilioni  zinatarajiwa kutumika kujenga stendi ya kisasa katika kipindi cha siku 365 kuanzia Mei 30, 2019  na kuleta mabadiliko chanya kiuchumi kwa wakazi wa Kakonko na Halmashauri kwa ujumla.

Hayo yameelezwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko Masumbuko Stephano Magang’hila katika hafla ya kusaini mkataba iliyofanyika hivi karibuni kwa kampuni ya M/S  SUGWA CONTRACTORS  ENTERPRISES LTD JV CHIGANDA CONSTRUCTION COMPANY LTD SLP 121 CHATO- GEITA iliyoshinda zabuni hiyo.

Kampuni hiyo inatarajiwa kutekeleza mradi wa ujenzi wa stendi ya kisasa kwa Tsh.2,146,996,675.79 ambapo kutakuwa na majengo ya utawala ya kisasa, maduka yasiyopungua 20 ya kufanyia biashara, eneo la maegesho magari makubwa, madogo, pikipiki na bajaji pamoja na kutengeneza eneo la stendi vizuri na kuhifadhi eneo linguine kwa matumizi ya baadaye.

Aidha kampuni ya M/S OGM CONSULTANTS YA DAR ES SAALAM imeshinda zabuni ya kazi ya ushauri kwa Tsh.128,147,000 katika kusimamia na kutoa ushauri katika ujenzi wa stendi mpya.

Mwenyekiti wa Halmashauri Juma Maganga ameeleza kuwa wananchi wanatarajia mradi huo utaisha kwa wakati na kuleta mabadiliko makubwa kwao ya kiuchumi kwani utapanua wigo wa kibiashara na kutoa fursa za ajira kwa wakazi wa Kakonko hivyo kuinua kipato cha Wilaya na mwananchi mmoja mmoja.

Mkuu wa wilaya ya Kakonko Kanali Hosea Ndagala amesisitiza mkandarasi kutekeleza mradi kwa ufanisi na kukamilisha kwa wakati huku akimsisitiza Mkurugenzi mtendaji kuchukua hatua ikiwemo kuvunja mkataba iwapo kampuni iliyoshinda zabuni itaonekana kushindwa kutekeleza kazi hiyo kwa wakati kwani fedha zipo.

Hata hivyo tayari kampuni ya Sugwa imeanza kazi ya kusafisha eneo na kuzungushia uzio ikiwa ni maandalizi ya ujenzi wa stendi ya kisasa.

Matangazo

  • FORM I 2021 JOIN INSTRUCTIONS December 18, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Ujenzi wa stendi ya kisasa Kakonko waanza kutekelezwa kwa gharama ya Tsh.2.1 bilioni kwa siku 365

    June 20, 2019
  • Hospitali ya Wilaya ya Kakonko yapokea msaada wa vifaa tiba na madawa ya Tsh.88,295,430/=

    May 02, 2019
  • BALOZI WA NORWAY NCHINI TANZANIA AKABIDHI VIFAA VYA MIFUGO KAKONKO

    January 24, 2019
  • MIRADI 3 YA MAJI YA BILIONI 1.5 KUTEKELEZWA NDANI YA MIEZI 6 KAKONKO

    June 08, 2018
  • Tazama zote

Video

Maadhimisho ya siku ya wanawake kitaifa yafanyika kwa ufanisi Mkoani Simiyu Machi 8, 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Pakua hati yako ya malipo ya mshahara Hapa "Utumishi Portal"
  • Tangazo la zabuni
  • Matokeo ya Mitihani ya baraza
  • Nafasi za kazi zinazotolewa na Sekretalieti ya Ajira
  • Taarifa kwa Umma zinazotolewa na "TAMISEMI"

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: 028-2820137

    Simu ya Mkononi: 0757470800

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa