• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

Elimu ya Sekondari

1.0 UTANGULIZI 

Idara imekuwa ikitekeleza kazi zake za kawaida na zile za msimu, kazi za msimu ni pamoja na uendeshaji wa mitihani ya kitaifa ya mitihani ya kidato cha Nne, na kidato cha Pili. Katika taarifa hii, zimetolewa taarifa za hatua za ujenzi wa maabara, takwimu za wanafunzi wa kidato cha nne na cha pili waliofanya mitihani yao mwaka huu hapa Kakonko.

1.1 TAARIFA YA HATUA ZA UJENZI WA MAABARA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI HADI 22/11/2016

 

Na.
SHULE
MAHITAJI
ZILIZOPO
UPUNGUFU
HATUA ZA UJENZI
USAFI
UPAUAJI
LENTA
UKUTA
MSINGI
1
KASANDA
3
2
1
1
-
-
-
-
2
BUYUNGU
3
3
-
-
-
-
-
-
3
KAKONKO
3
1
2
2
-
-
-
-
4
KANYONZA
3
1
2
2
-
-
-
-
5
SHUHUDIA
3
0
3
3
-
-
-
-
6
MUHANGE
3
2
1
1
-
-
-
-
7
NYAMTUKUZA
3
0
3
3
-
-
-
-
8
KASHOZA
3
0
3
3
-
-
-
-
9
RUGENGE
3
0
3
3
-
-
-
-
10
GWANUMPU
3
0
3
3
-
-
-
-
11
MUGUNZU
3
0
3
3
-
-
-
-

JUMLA
33
9
24
24
-
-
-
 -
  1. MITIHANI YA KIDATO CHA IV NA II, 2016

Mitihani ya Kidato cha nne na cha pili, imefanyika mwezi Novemba, 2016.

Maandalizi yake ya awali yalianza mwezi Septemba na tukapokea mitihani ya kidato cha nne mwishoni mwa mwezi Oktoba, 2016, mitihani ya Kidato cha Pili tulipokea tarehe 10/11/2016.

  1. KIDATO CHA IV, 2016
WALIOANDIKISHWA     KI,2013
WALIOSAJILIWA MTIHANI CSEE,2016
WALIOFANYA MTIHANI CSEE, 2016
%
WAV
WAS
JUMLA
WAV
WAS
JUMLA
WAV
WAS
JUMLA
698
446
1144
477
336
813
476
334
810
99.9
  1. KIDATO CHA PILI, 2016
WLIOANDIKISHWA     KI,2015
WALIOSAJILIWA MTIHANI FTEE,2016
WALIOFANYA MTIHANI FTEE, 2016
%
WAV
WAS
JUMLA
WAV
WAS
JUMLA
WAV
WAS
JUMLA
662
427
1089
611
435
1046
580
431
1011
95.5

           Mithani yote imefanyika na kukamilika vizuri.

  1. KAZI ZINGINE ZILIZOFANYWA NA IDARA

Idara ilichukua hatua za kuwafundisha wakuu wa shule namna ya kujaza fomu za kuwapima utendaji kazi watumishi kwa mfumo wa wazi (OPRAS). Baada ya mafunzo hayo Idara ilifuatilia utekelezaji wa ujazaji wa fomu hizo. Hadi Desemba 31, 2016 walimu wote walikuwa wamewasilisha fomu zao hapa Idarani kwa hatua zingine.

Matangazo

  • FORM I 2021 JOIN INSTRUCTIONS December 18, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Ujenzi wa stendi ya kisasa Kakonko waanza kutekelezwa kwa gharama ya Tsh.2.1 bilioni kwa siku 365

    June 20, 2019
  • Hospitali ya Wilaya ya Kakonko yapokea msaada wa vifaa tiba na madawa ya Tsh.88,295,430/=

    May 02, 2019
  • BALOZI WA NORWAY NCHINI TANZANIA AKABIDHI VIFAA VYA MIFUGO KAKONKO

    January 24, 2019
  • MIRADI 3 YA MAJI YA BILIONI 1.5 KUTEKELEZWA NDANI YA MIEZI 6 KAKONKO

    June 08, 2018
  • Tazama zote

Video

Maadhimisho ya siku ya wanawake kitaifa yafanyika kwa ufanisi Mkoani Simiyu Machi 8, 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Pakua hati yako ya malipo ya mshahara Hapa "Utumishi Portal"
  • Tangazo la zabuni
  • Matokeo ya Mitihani ya baraza
  • Nafasi za kazi zinazotolewa na Sekretalieti ya Ajira
  • Taarifa kwa Umma zinazotolewa na "TAMISEMI"

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: 028-2820137

    Simu ya Mkononi: 0757470800

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa