MAJUKUMU YA IDARA YA FEDHA NA BIASHARA
1. Kuthibiti na kusimamia matumizi bora ya fedha katika Halmashauri
2. Kukusanya na kusimamia mapato kwa mujibu wa kanuni na miongozo ya serikali.
3. Kutayarisha hesabu za mwaka (annual final accounts)
4. Kuandaa malipo ya mishahara kwa wakati
5. Kuandaa na kuwasilisha orodha ya hati za malipo hazina
6. Kutayarisha bajeti ya Idara
8. Kutoa huduma za kifedha na hifadhi ya vitabu vya kumbukumbu za fedha.
9. Kuandaa kwa wakati taarifa za kifedha za malipo ya pensheni kwa watumishi waliostaafu.
Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko
Anuani ya Posta: P.O.BOX 3
Simu: 028-2820137
Simu ya Mkononi: 0757470800
Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz
Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa