• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

Afya

         

DIVISION YA AFYA, USTAWI WA JAMII NA HUDUMA ZA LISHE 

5.0 Sekta ya Afya

Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko ina vituo 28 vya kutolea huduma za afya, kama inavyoonesha hapa chini


MMILIKI
ZAHANATI
VITUO VYA AFYA
JUMLA
Serikali - Halmashauri

19

4

23

Serikali - JWTZ

1


1

Binafsi

3


3

JUMLA

24

4

28


Chanzo: Idara ya Afya

 

5.1 Mapambano dhidi ya maambukizi ya Virusi vinavyosababisha UKIMWI (VVU).

Hali ya mapambano dhidi ya maambukizi ya Virusi vinavyosababisha UKIMWI (VVU) ni kama inavyo onekana katika jedwali hapa chini;.

MWAKA

2020/2021

2021/2022

ONGEZEKO

Watu wanaoishi na VVU (HIV positivity rate)

2.5%

2.7%

2%

Vituo vya kutolea huduma ya UKIMWI (refilling center)

13

14

1

Vituo vya matunzo na tiba (care and treatment center)

4

4

0

Kituo cha matunzo na tiba -TRC kambi ya wakimbizi Mtendeli

1

1

0


        Chanzo: Idara ya Afya

5.2 Uthibiti wa ugonjwa wa Malaria.

Kiwango cha maambukizi ya malaria baina ya wagonjwa wanaofika vituo vya afya ni  Kama inavyoonesha hapo chini:


 

          Kiwango cha Maambukizi ya Malaria


Mwaka
Kiwango cha maambukizi ya malaria kwa wagonjwa wanoafika katika vituo vya kutolea huduma za Afya.
2019/2020

19.1%

2020/2021

28%

2021/2022

33%


         Chanzo: Idara ya Afya

5.3 Huduma za afya ya uzazi na mtoto 

Huduma ya mama na mtoto inatolewa katika vituo 24 vya kutolea huduma za afya. Kwa kipindi cha miaka mitatu vifo vya akina mama vimepungua na hili ni juhudi za serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali kama UMATI, AMREF, Marie Stoppes na THPS kupambana kuhakikisha Halmashauri inamaliza vifo vyote vya akina mama wajawazito kama ifuatavyo;

          Huduma za afya ya uzazi na mtoto


Mwaka
Idadi ya vifo vya akina mama
2019/2020

3

2020/2021

7

2021/2022

3


         Chanzo: Idara ya Afya

CHF iliyoboreshwa.

Halmashauri ina wanachama 18,306 wa CHF iliyoboreshwa ambayo ni sawa na 11.4%. Kuna baadhi ya changamoto zinapunguza kasi ya uandikishaji wa CHF changamoto kama kutokulipwa kwa wakati madai ya vituo na zahanati, bei za vipimo, dawa na baadhi ya huduma zingine kutokuwekwa wazi, pia mfumo wa madai kutolipa fomu zote za madai  kama madai yalivyo.

5.4 Hali ya Upatikanaji wa Dawa na Vifaa Tiba 

Hali ya upatikanaji wa dawa muhimu ni 87%. Pamoja na upatikanaji huo, maombi ya dawa yanapowasilishwa huletwa dawa baadhi tu na wakati mwingine sio kwa kiwango kilichoagizwa.

5.5 Matibabu ya wazee 

Jumla ya wazee 10,966 wametambuliwa katika kata zote 13 za Wilaya. Pia kuna jumla ya mabaraza ya wazee 58 katika kata zote 13. Halmashauri ya Wilaya katika kipindi cha miaka mitatu mfululizo imetoa huduma za afya kwa wazee bure kulingana na sera na miongozo ya serikali kama inavyo onekana hapa chini.

Wazee waliotambuliwa


Mwaka

Me

Ke

Jumla

2019/2020

3,313

2,304

5,617

2020/2021

2,143

2,006

4,149

2021/2022

577

623

1,200

Jumla

6,033

4,933

10,966


Chanzo: Idara ya Afya

5.6  Uboreshaji wa miundombinu katika vituo vya kutolea huduma za Afya.

a) Ujenzi wa Miundombinu ya Afya

Ujenzi wa Hospitali majengo 8, Nyumba ya Watumishi na Vituo vya afya

Katika kipindi cha 2019/2020 hadi 2021/2022 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko imefanikiwa kujenga hospitali za Wilaya majengo 7, EMD, Nyumba ya watumishi na vituo vya Afya 2 kama ifuatavyo;.

Ujenzi wa Hospitali majengo 8 na Nyumba ya Watumishi


Huduma

Utekelezaji wa ujenzi ulikofikia

Jumla Sh.

Ujenzi wa Hospitali ya wilaya majengo 7

98%

2,690,000,000.00

Vifaa Tiba Hospitali ya Wilaya

100%

500,000,000.00

Hospitali ya Wilaya-EMD

85%

300,000,000.00

Hospitali ya Wilaya- Nyumba ya Watumishi

90%

90,000,000.00

Ujenzi wa kituo cha Afya Nyakiyobe

70%

500,000,000.00

Ujenzi wa kituo cha Afya Mugunzu

55%

500,000,000.00

Jumla

 

4,580,000,000.00


Chanzo: Idara ya Afya

1.Jengo la Dharura (EMD)



 

2.Jengo la Mionzi (Radiology)

3.Nyumba ya Watumishi (3 in 1)     

                                              

4.Jengo la Wagonjwa wa nje (OPD)


5.Jengo la Maabara (Laboratory)


 

6.Jengo la upasuaji na wodi ya wazazi


7.Jengo la Dawa (Pharmacy)


(b) Ujenzi wa zahanati

Katika kipindi cha miaka mitatu (3) ya 2019/2020 hadi 2021/2022 Halmashauri imejenga zahanati kama ifuatavyo;

Ujenzi na ukarabati wa zahanati


Huduma

Utekelezaji wa ujenzi ulikofikia

Jumla Sh.

Ujenzi wa jengo la mama na mtoto - Kinonko

100%

50,000,000.00

Ujenzi wa jengo la mama na mtoto - Bukirilo

100%

50,000,000.00

Ukarabati wa jengo la OPD zahanati ya Kiduduye

100%

50,000,000.00

Ukarabati wa jengo la OPD zahanati ya Rumashi

90%

50,000,000.00

Ukamilishaji wa zahanati ya Luhuru

45%

50,000,000.00

Ukamilishaji wa zahanati ya Rusenga

38%

50,000,000.00

Ujenzi wa Zahanati-Kihomoka (Own Source)

95%

60,000,000.00

Ujenzi wa Zahanati-Njoomlole (Own Source)

95%

60,000,000.00

Ujenzi wodi ya baba, mama na mtoto katika zahanati ya Kasongati kwa ufadhili wa UNFPA

100%

137,916,193.00

Ujenzi wodi ya baba, mama na mtoto katika zahanati ya Muhange kwa ufadhili wa UNFPA

100%

97,025,060.00

Ujenzi wodi ya baba, mama na mtoto katika zahanati ya Gwarama - UNFPA

98%

75,000,000.00

Ujenzi wa zahanati ya Churazo - World Vision

95%

245,712,290.92

Ujenzi wa zahanati ya Ilabiro - World Vision

92%

260,793,523.00

Ujenzi wa zahanati ya Chilambo - World Vision

100%

203,054,313.00

Ujenzi wa zahanati ya Nyamtukuza - World Vision

92%

65,110,630.00

Jumla

 

1,504,612,009.92


Chanzo: Idara ya Afya

(c) Ujenzi wa Matundu ya vyoo

Pia katika mwaka wa fedha 2019/2020 hadi 2021/2022 Halmashauri kupitia mradi wa Program ya Maji na Usafi wa Mazingira Afya unaofadhiliwa na Benki ya Dunia

Vimejengwa vyoo na kuweka mifumo ya maji katika vituo vya kutolea huduma za afya 16. Ujenzi katika vituo vyote 16 umekamilika.

 


Huduma

Hatua ukamilishaji

Jumla Sh.

Vituo vya Afya @ 22,000,000.00 kakonko, Gwanumpu, Nyanzige, Kiduduye, Kazilamihunda, Katanga,  Muhange, Nyabibuye, Gwarama, Kasanda, Nyamtukuza na Kabingo

100%

264,000,000.00

Vituo vya Afya @ 17,408,000.00 Kasongati, Kiga na Bukirilo

100%

52,224,000.00

Kituo cha Afya Rumashi

100%

17,384,000.00

JUMLA

333,608,000.00


Chanzo: Idara ya Afya



Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - WAKUSANYA MAPATO January 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. June 18, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA YA WAOMBAJI NAFASI YA UKUSANYAJI MAPATO WALIOITWA KWENYE USAILI January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA VITENDO - WAOMBAJI KAZI YA DEREVA II November 17, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WASISITIZWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

    April 29, 2025
  • UANZISHWAJI WA MFUMO WA UTHIBITI UBORA WA SHULE WATAJWA KUWA CHACHU KATIKA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA KIUTENDAJI..

    April 17, 2025
  • JIMBO LA BUYUNGU LABADILISHWA JINA NA KUITWA JIMBO LA KAKONKO.

    March 13, 2025
  • MHE.KAMAMBA AWAKUMBUSHA WATUMISHI KUWEKEZA KATIKA KILIMO NA BIASHARA PAMOJA NA KUJIENDELEZA KIELIMU.

    March 03, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa